Hujui wanawake wewe hata huyu anaweza kukuliza siku moja isiyokuwa na tarehe! eti kunawishwa mikono?? km kilema? haijakaa vizuri, hapo kwa x-wako umeongeza chumvi bana,
Mtu mke tena wa Muhasibu ajambe hadharani? mbaya zaidi anatamka .. ''Dear najisikia kuharisha kwa sauti? mmm!! aahaha! km ni kweli kichwa yako ina matatizo!!! mnafanana mrudie tu, mruhusu huyu wa sasa aondoke! shule yoote hiyo, na kazi, unatutia aibu wasomi, hukupendwa na videmu makini huko? Sec, O'' level, A''level chuo. kazini, hadi unapendwa na mtu wa kujamba hadharani mkuu unajichora ulivyo sababu vitendo vyake vinakuhusu. lazima ke au Me'' marafiki wana reflect tabia ya wahusika.
hata ma house girl wangu wote kwa idadi nilio wahi kuwaajili hawajawahi ku behave ki hivi!!! sikupi pole! huyo wa sasa unamtesa siyo level yako, akusubili mpaka uje ndo mle wote? nionavyo ni upendo wa kuigiza, mtachokana mapema, Muhasibu unaona fahari ku act mapenzi ya u- vipepeo?? , hayo ni mapenzi ya teenagers sec, Palee Wellcome form one Disc.Bougie,
Uhasibu ni Level nyingine ya juu kaka. mademu wajingajinga wataiogopa na kuiheshimu fani hii wenyewe wanajichambua hawakusogelei. kwanza utakutana nao wapi? hujatwambia Standard of Education ya huyo x-wako, ukilinganisha na huyu wa sasa!!
Na ilikuwaje akaondoka kirahisi ivo kumpisha huyu wa sasa, Demu kuacha Muhasibu pika pakua nyama kula kusaza na kodi ya Meza juu! si kitu rahisi ni vita hasa si kitoto, kuolewa ni ajira. kwa hasira unaweza tupiwa jini la Makalio! sauti makalioni,ili wakose wote, cheza na penzi la muhasibi wewe!