KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Umekua kama tui la nazi kwenye penzi hili!, utamu wako ni kama hewa laini inayopuliza wakati wajoto.
Nikianza na ngozi yako nitamaliza na umaridadi wako!, unaponivutia zaidi ni pale unaposema unapenda upekupeku!.
Haha! kama ni tunu nimepata na kama ni nuru hakika unaangaza.
Si kwa miguno na michuchumio wala si kwa ajizi na makadirio, unanipa vitamu bila kipimishio!.
sikutangazi kwa vijizi, maana wao kukupata mpaka kwa nguvu za hirizi!.
kuna wanaojiita "maradona" ati wanafunga magoli kila kona!, wamesahau ujuzi wa mkufunzi unapita weledi wa wanafunzi!.
Mimi sifungi kila kona, ila najua magoli yangu wayaona yanapita kwa nyavu, nasifungi kwa mkono ila kwa kiungo kilichonona!.
Natamani nianzie dodoma ila singida hakika pamenona!, unanifanya niumwe sonona kwa hizo nywele za kibantu na ngozi iliyopikwa kwa nazi na sio koroma!.
Mshairi wangu alinifunza "nisianze na moja ila mbili!", Wewe ukanikuza nisipige kimoja bali viwiliviwili!. Haha!
Nashukuru nimekuwa kenzy, sio wa mapambio bali mjuzi wa utenzi mwenye kuenzi lako penzi!.
kwako Liberian girl..
Nikianza na ngozi yako nitamaliza na umaridadi wako!, unaponivutia zaidi ni pale unaposema unapenda upekupeku!.
Haha! kama ni tunu nimepata na kama ni nuru hakika unaangaza.
Si kwa miguno na michuchumio wala si kwa ajizi na makadirio, unanipa vitamu bila kipimishio!.
sikutangazi kwa vijizi, maana wao kukupata mpaka kwa nguvu za hirizi!.
kuna wanaojiita "maradona" ati wanafunga magoli kila kona!, wamesahau ujuzi wa mkufunzi unapita weledi wa wanafunzi!.
Mimi sifungi kila kona, ila najua magoli yangu wayaona yanapita kwa nyavu, nasifungi kwa mkono ila kwa kiungo kilichonona!.
Natamani nianzie dodoma ila singida hakika pamenona!, unanifanya niumwe sonona kwa hizo nywele za kibantu na ngozi iliyopikwa kwa nazi na sio koroma!.
Mshairi wangu alinifunza "nisianze na moja ila mbili!", Wewe ukanikuza nisipige kimoja bali viwiliviwili!. Haha!
Nashukuru nimekuwa kenzy, sio wa mapambio bali mjuzi wa utenzi mwenye kuenzi lako penzi!.
kwako Liberian girl..