Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Shogaa huna kipaza sauti tumpe jamaa🤷🤷????Ongeza sauti mwaya😀
Mzee a vilainishi maana yake nini? mbona kama neno lina ukakasi kutamka🤣🤣
Umenifurahisha sana, nakuja kukuhonga.Kwa hii tabia yako peponi utapokelewa kwa shangwe na matarumbeta.....
Ndomaana nimesema angalau laki 1, yani ukiwa bahili uhonge laki ila ukitaka kupendwa unahonga zaidi.Laki?mbona ni hela ya kawaida
Kama huna hela mhonge hata laki 1 kwa mwezi, wewe ni mwanaume mkuu.
+44750087538291 jina Joannah Johnson....tafadhaliUmenifurahisha sana, nakuja kukuhonga.
Huyu mwenzao watamtenga kwenye chama chao,,,hawataki kusikia hizi habarikuna wanaume watazuga hawajauona uzi. Aloo tutawaletea screenshot 😂😂
Kilainishi=pesa......muasisi wa msamiati ni Bei ElekeziMzee a vilainishi maana yake nini? mbona kama neno lina ukakasi kutamka🤣🤣
Wacha weeee,,we jamaa lazima utakuwa Ngosha weweNdomaana nimesema angalau laki 1, yani ukiwa bahili uhonge laki ila ukitaka kupendwa unahonga zaidi.