Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Naam, ngosha wa america.Wacha weeee,,we jamaa lazima utakuwa Ngosha wewe
Kama unashindwa kumhonga mpenzi wako inamaana hata hoteli za kifahari hutembelei, sasa utanipata wapi wakati mi ntamficha kwenye hotel ya nyota 5 asahau adha unazo mpa kila siku.Honga. Ila tukikukuta tunakufumua. Mbwa wewe πππ
πππKilainishi=pesa......muasisi wa msamiati ni Bei Elekezi
Acha mawazo ya kiibilisi basi shemejiπ€π€£
Yaaani na turushe kwenye media zoteShogaa huna kipaza sauti tumpe jamaaπ€·π€·????