Kwako mkuu wa Nchi, Haya matukio na Mauaji yanayoendelea nchini

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Nakumbuka mwaka 1990 nilikuwa Kigali kusaka maisha.mambo haya ya kupotea watu yalikuwa yanatokea mara Kwa mara na ilisemekana yalikuwa yanafadhiliwa na serikali,watu walipochoka ndiyo mauaji ya kimbali ya Rwanda yakatokea mwaka 1994.Kipindi hicho watu wakawa wanawafata viongozi walikuwa wanasemekana kufadhili watekaji na kumalizana nao hapohapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…