FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Ombi maalum kwako mheshimiwa Moderator weka option ya kuweka jinsia
mambo ya kuulizana wewe ni serengeti boys -Or twiga stars inaleta balaa
Me/Ke
Male/Female
ni mtizamo tu
Chrispin ,masanilo ,Nguli ,kina Geoff ,na wengine hawatakumbana na maswali mengi...
Ombi maalum kwako mheshimiwa Moderator weka option ya kuweka jinsia kwenye profile
mambo ya kuulizana wewe ni serengeti boys -Or twiga stars inaleta balaa
Me/Ke
Male/Female
ni mtizamo tu
Chrispin ,masanilo ,Nguli ,kina Geoff ,na wengine hawatakumbana na maswali mengi...
You must be Geneous!Ombi maalum kwako mheshimiwa Moderator weka option ya kuweka jinsia kwenye profile
mambo ya kuulizana wewe ni serengeti boys -Or twiga stars inaleta balaa
Me/Ke
Male/Female
ni mtizamo tu
Chrispin ,masanilo ,Nguli ,kina Geoff ,na wengine hawatakumbana na maswali mengi...
Naomba unikumbushe jinsia yako ....LoL
mimi ni mvulana niko kidato cha tatu napenda kutumia computer
mimi ni mvulana niko kidato cha tatu napenda kutumia computer
Ngoja niPM Chrispin!
UsiniPM mchungaji. Nimeshaiona hiyo. Hakika Masiya yu mbioni kurudi. Kama tiketi ameshakata kabisa. Manake kashanifanya mimi basha siyo?
Ndo wasi wasi uliponijaa....kuna aunt noniiiii!
mimi ni mvulana niko kidato cha tatu napenda kutumia computer
Xspin tunakutenga na umoja wetu, umeanza kula wenzio? Boko wala wenzio nawe utaliwa Boko...kuna bendi imeimba huu wimbo sijui inaitwaje?
Chrispin Muda si mrefu tunamtenga na kumfungia sacramento....kama ni mzee wa kisamvu cha kopo....!
Chrispin Muda si mrefu tunamtenga na kumfungia sacramento....kama ni mzee wa kisamvu cha kopo....!
Tena katoto kadogo ka darasa la 3 inanikumbusha Babu Seya
Mchungaji naomba, ukiona vema uniruhusu niingie malangoni pako.
Go to the Sayuni Mountain, Fast, Pray and repent
We kiboko: Kijana uliye kidato cha tatu uliye pia mamantilie mitaa ya migomigo. Lol!