Kwako Mpenzi.....

Kwako Mpenzi.....

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,286
Reaction score
4,523
Mpenzi wangu

Kuthibitisha nimeachana na yule mpenzi wangu wa zamani, nimekuambatanishia na picha siku nilipo mpa mkono yule dada. Bila shaka tutaishi kwa amani na upendo

Wako daima

Masa Juniour

attachment.php
 

Attachments

  • Marytina.jpg
    Marytina.jpg
    52 KB · Views: 98
There is no attachment here......Rev parokiani hakuna umeme?
 
Masa bwana leo umeamua kumgawia mwenyewe maumivu yake sio?
 
Halafu kama ulikuwa unajianda kucheza kiduku,halafu dada anasikilizia kwa mbalii :tonguez:
 
mmmmhhhhhhh
Kijana mwenyewe ana mbavu mbili
huyo dada tayari kasha jiweke kwenye
position nzuri ya kum tackle si amuweke tu
chini na kummaliza hizo mbili zilizobakia..
 
Kwa mbaaali mdingi anaangalia pambano akiburudika kwa uji. Hapo si ajabu kisa ilikuwa kapika uji mbichi.
 
Kwa mbaaali mdingi anaangalia pambano akiburudika kwa uji. Hapo si ajabu kisa ilikuwa kapika uji mbichi.

hahahaahahahahahaahaha...nimependa kisa cha ugomvi..ila mdingi hajari anaunywa ht km mbichi uji
 
Back
Top Bottom