Kwako mtani wangu mshana jr

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Kwanza nikupe hongera na kongole kwa kupandishwa cheo cha platnum member,
Kingine nilikuwa nakuuliza hivi kwenye kazi yako ya ulozi hivi kipindi kama hichi cha mvua kila sehemu/mkoa mkiwa huko angani na gari lenu (ungo) hivi mvua ikinyesha mnabaki hivyo hivyo uchi au hua mnavaa makoti(jackets)kujifunika
Ni hilo nimewasilisha.[emoji144][emoji144]
 
Umekosea sana aisee.

Kwakua umesema ni mtani wako labda la kuwa Plutnum member ipa hili la ulozi pitakua limebeba dhana ya utani hivyo atatupiga chenga
 
Hapana ni swali tuu mkuu linajieleza sio la utani [emoji2][emoji2]
Umekosea sana aisee.

Kwakua umesema ni mtani wako labda la kuwa Plutnum member ipa hili la ulozi pitakua limebeba dhana ya utani hivyo atatupiga chenga
 
Ikifika saa saa nane hadi saa kumi alfajiri ndo ataonekana hapa na kukujibu kwa vitendo, uwe macho tuu usilale popote utapokuwa tukio litaonekana live dunia nzima bin JF yote.

Matata K.
 
Weee [emoji87][emoji87]
Ikifika saa saa nane hadi saa kumi alfajiri ndo ataonekana hapa na kukujibu kwa vitendo, uwe macho tuu usilale popote utapokuwa tukio litaonekana live dunia nzima bin JF yote.

Matata K.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…