Kwako mume wa huyu dada mwenye VOLKSWAGEN POLO



Dunia ngumu, inawezekana hapo unapangwa, achaneni na wanawake mtakuja kupata shida nyingi sana duniani.

Inawezekana :

1. Ni malaya anakupanga, pamoja na Polo yake, usije kusema hukuambiwa, utakuja ujute. .

2. Unatengenezewa fumanizi na funguo za watu za gari unajiona mjanja.

3. Inawezekana unatengenezewa mazingira ya kuibiwa, utakuja jua mwishoni.

Mimi Bwana, mwanamke wa mtu, hapana kabisa msikiliza au kukaa naye Bar, unaweza kutwa yeye ndo kafumaniwa ana stress za kufumaniwa.....

Mnasikiaga sasa Vijana?????
 
Mkuu, mimi mwenyewe born town. Niko makini kuliko unavyodhani. Nimeshafanya due deligence ya kutosha na nimejiridhisha kwamba huyu sio tapeli.
 
Mkuu naomba usimkabidhi huyo sister kwa boda boda au muongozane na huyo boda, uhakikishe anafika kaingia kwake.

Turudi kwenye mada, ndoa zina mambo sana, yeye pair tu ya viatu na iphone analiiia, watu wana watoto na familia nje ya familia walizooa, mpe pole sana mwambie apige moyo konde maisha hayajawahi kusimama.
 
Hata mimi nimewaza kama ulivyowaza wewe mkuu. Nitahakikisha anafika nyumbani salama.
 
Umelipwa kodi mkuu?


Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Njoo inbox,nipe namba zake nimpe ushauri.Ndio taaluma yangu.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mimi ndio bodaboda ulieachiwa maagizo yangu vp bdo hajazima nipo chini ya huu mti hapa upande wa pili wa barabara
 
Sasa kama ana kazi nzuri na maisha mazuri anachoolia ni nini?

Huyo dem hana akili ni kilaza pro max, hiyo elimu yake haijamsaidia kabisa, acha aendelee kulia na kuliwa.
 
Daa shemeji yangu hyo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]..niamin mm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…