Kwako mume wa huyu dada mwenye VOLKSWAGEN POLO

Wenetu mnapotaka kuchepuka nendeni mbali sana, Kuchepuka na mwanamke wa mtaani ni kuwashushia heshima sana wake zetu.
 
Umezungumza kwa hisia kali sana mkuu. Kweli utu uzima dawa.
 
Umezungumza kwa hisia kali sana mkuu. Kweli utu uzima dawa.
Utalia, utakunywa mipombe utaharibu maini yako na Figo bure uanze gharama chungu mbovu za kujitibia. Ameshachepuka , kulia kwake na kunywa pombe hakusaidii kitu wala kubadilisha kitu. Kama ana ubavu amuache huyu jamaa kama hana , arudi tu home maisha mengine yaendelee.
 
Wisdom [emoji91]
 
Ingekuwa enzi zako kabla haujaokoka hahahahah
 
Somo la ndoa ni gumu sana.Ndio maana unapewa cheti kwanza halafu ndiyo uende kusoma na mitihani inafuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…