Kwako mume wa huyu dada mwenye VOLKSWAGEN POLO

Mkuu, mke wa mtu ni simu.

Uchungu wa kusalitiwa usikie kwa mtu tu.

Halafu nimeokoka sasa.

Lakini we jamaa si ulisema unamchumba mchana Mungu ila Kwa kutokumjua Lowasa ukaona kama ana exposure ndogo? Hiyo sio point yangu

Kwenye ule Uzi, ulisema Binti anagoma kabisa kukupa Hadi ndoa ifungwe, inamaana wewe ulikua inahitaji ujipooze sahihi? Sasa huu ulokole wa kutaka kujipooza kabla ya ndoa ni version ya wapi?

Hausafishi mtambo Kwa kuwa mlokole au umeamua tu uachane na mambo ya ujana?
 
Labda kama anapewa ndogo na huyo dada wa saluni. Ila vingine vyote anaweza kuvipata kwa mkewe
mkuu watu wakishaoana mahaba yanapungua,nimechunguza hili jambo.
na ndoa nyingi zinakufa chini ya muda walipokua na mahusiano.

wananyanduana kwa miaka mitatu wakiingia kwenye ndoa mwaka mmoja tu wanaanza kutimuana,kugombana mpaka ndoa inakufa.
kataa ndoa wanazidi kupata nguvu.
 
Umeanza vizuri lkn ukaharibu mwishoni [emoji2]

Kwa ujumla, usaliti kwenye ndoa ni jambo baya haijalishi linafanywaje..
 
Umenilisha maneno mkuu [emoji2]. Sikusema nataka nimjue kabla ya ndoa.

Nimesema nimekuwa nikijitafakari kama kweli hili la kujuana baada ya ndoa linawezekana kweli ukizingatia historia yangu.

Tafakuri yangu imenipa majibu kwamba linawezekana ukimtanguliza MUNGU mbele. Kwa akili za kibinadamu hatuwezi. Nimezungumza uhalisia mtupu.
 
Naona unapiga paparara tu hapa

HUjui ndoa wewe

Usihukumu kabla hujasikia stori upande wa pili

Usikute kijana wa watu anakaa miezi 2 ndo anachangamshwa

Cha kufia nini ngoja aende arusha [emoji23]
[emoji23][emoji23]
 
[emoji848][emoji848]
 
Usimsaidie mke wa mtu, uisimuonee huruma mke wa mtu,
mambo yao ni juu yake na mume wake.
Unaweza ona unamsaidia kumbe unamuongezea matatizo.
Pole inatosha, kubeba handbags na funguo za watu za gari ni kujiingiza kwenye matatizo ya watu.

kama unamtaka acha wamalizane na mumewe waachene ndio mbebane sio kubeba ubaba huruma kwenye mambo ya watu.
 
Mapenzi shwain nlijitia kupenda nikaambulia high BP nikiwa na miaka 30 hadi leo natembea na mafuko ya dawa kama mwathirika nangoja kupata mshituko tu nakata kamba naacha vitoto vyangu vidoooogo😏
Mapenzi sio ya kuchukulia serious, utakufa mapema. Ona sasa miaka 30 una BP, na hizo dawa huwa zinaua Figo. Jaribu kufanya mazoezi na ku focus na mambo mengine ili uachane na hizo dawa kwani umri bado no mdogo.
 
Tatizo ni mazoea. Ni kama kununua gari jipya, unakuwa na mchecheto nayo baada ya muda unaona ya kawaida sana
Kila siku mnalala pamoja, mnakula pamoja etc, unamuona wa kawaida sana na ndio hapo unapugundua pia madhaifu mengi
Ndoa nyingi sana watu wanaishi kusogeza siku lakini mapenzi yalishaisha mapema sana
 
Polo ya Blue?
 
Sawa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…