Kwako Waziri Ummy Mwalimu kuhusu maambukizi ya COVID-19: Watanzania tunahitaji kupewa taarifa za kila siku (Daily Updates)

Huyu mama msimlaumu ana wakati mgumu kwa sasa na ana mambo mengi yamemzidi,lawama ziende huyu jamaa aliyekimbia dar

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M-mbabe,
Asante mkuu naunga mkono hoja. Bila hizi taaarifa kwa kweli watu wengi wanapotoshwa na taarifa feki za kwenye social media ambazo sio official. Wizara ilitazame hili jamani
 
Huyo mama keshafeli kitambo swala la kutoa taarifa kila siku bora waachiwe wakuu wa mikoa kila mkuu wa mkoaatangaze kwenye eneo lake.
 
it's over 3 days tangu update ya mwisho kutolewa.
sasa naona inaelekea saa 10 hakuna updates zozote leo still.... Ummy, are you serious?
 
Hahahaa hahaha hapa mkuu umeniacha kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana Chikwuemeka jana ndugu zenu lukuki wamekuja kuwasalimia huko mliko,
Kuzid hata idadi ya December !!!
Umewaona?
Unajambo gani kilingeni baada ya hili
Utasemaje raia ambaye huna hata passport mkuu,unabaki kujilinda tu na watu wako wa karibu kuhakikisha wako salama na kufuata maelekezo ya WHO
 
Nasikia huyo mama huwa anapokea matusi ya hatari kutoka kwa mzee Meko kwa simu mpaka basi. Yaani anapelekeshwa kama mkokoteni unaovutwa na punda.
 
Hii kitu ilitakiwa iwe hivyo tangia siku ya kwanza ugonjwa huu ulipoingia nchini. Tutakumbushana kumbushana na kuwaelekeza hawa mpaka lini as if hawa viongozi ni laymen?
Walichaguliwa hizo nafasi na wafanye kazi professionally kama inavyotakiwa na sio kwa mazoea.
Wanakera wao mpaka aliyewachagua..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…