Kwako Waziri wa Afya: Matatizo matatu ya Hospitali ya Muhimbili na Mloganzila ni haya

Private ni hovyo kuliko! Hawana staff ya maana. Private wanaweka gharama utadhani 4star hotel. Watu wanalipa hadi laki4 kwa siki! Upuuzi tu! Matibabu hovyo!
 
Kwani ulivyosikia serikali ya awamu ya tano ikihimiza uwekezaji kwenye viwanda vya dawa ili kutengeneza dawa hapa hapa nchini wewe ulielewa nini? au ulipiga vigeregere vya kumtukuza mtukufu bila kuelewa? anyway for your information, panadol zimekuwa zikitenfenezwa hapa nchini kwa muda mrefu but kwanini watu huuliziaga ya kenya au Italy au india?
 
Private ni hovyo kuliko! Hawana staff ya maana. Private wanaweka gharama utadhani 4star hotel. Watu wanalipa hadi laki4 kwa siki! Upuuzi tu! Matibabu hovyo!
Kinachokera na kuumiza ni kwamba licha ya kulipa gharama zote hizo na huduma mbovu bado wakikushindwa wanakupeleka kwenye hizo hospitali za serikali ili hatma yako ikapatikane huko na sio mikononi mwao.
 
Hakuna huo ujinga awamu ya tano, watu wamenyooka sasa nidhamu imerudi kwenye maofisi na watu wanachapa kazi balaa..
Nyie mtakuwa CDM..
Mkuu ndo ushangae watu wale wale wanaoimba mapambio ya kusifu na kuabudu wakimsifu Magufuli kwa kunyosha nchi na kurudisha nidhamu kwenye utumushi wa umma ndo hao hao wanalalamikia huduma mbovu kwenye hospital za umma,dawa feki na vitambulisho Kule NIDA. Yaani sijui kwa nini mtanzania hapigiwi Kura kuingizwa kwenye orodha ya maajabu ya dunia
 
Hivi mtu anapoituhumu mhimbili Mimi huwa sielewi na siamini nimewahi tibiwa hapo Mara tatu ,na nilikutana na doctors tofauti ukweli nilihudumiwa vizuri sana na ilikuwa mwaka 2018,kwa mloganzila sijawahi fika so I can't say anything

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei ya dawa Muhimbili ni kubwa mno kulinganisha na maduka binafsi. Mdogo wangu aliandikiwa dawa kidonge kimoja sh 1,700+ hapo muhimbili nilipoenda duka binafsi kidonge kimoja hakikuzidi 400.
 
Bei ya dawa Muhimbili ni kubwa mno kulinganisha na maduka binafsi. Mdogo wangu aliandikiwa dawa kidonge kimoja sh 1,700+ hapo muhimbili nilipoenda duka binafsi kidonge kimoja hakikuzidi 400.
Na wewe sijui vipi kwa mnyonge anatetewa na serikali hii 1700+ kwa kidonge ni kitu gani,is just a peanut
 
Huduma zako Mara zote ulizipata kwa kufuata utaratibu uliopo au kupitia connection ? Kwa maana ya kwamba ulikuwa unafahamiana na mmoja wa wafanyakazi wa hapo.
 
We undhani wanapenda kufanya kazi umma na private..mishahara ya umma haitoshelezi mahitaji..na wenyewe wanapambana na maisha yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi watumishi wengine mishahara yao inawatosha?Nao wangefanya hivyo hali ingekuwaje kwenye utumishi wa umma? Hivi kwa mfano mshahara wa mwalimu wa chekechea unaweza kukidhi mahitaji yake? Ila wanapiga kazi bila manung'uniko. Tujitahidi kuthamini maisha ya wengine.
 
Huyu mdau samurai ninavyomuelewa anaandika kejeli..labda kama ameamua kubadilisha gia angani.
 
Na wewe sijui vipi kwa mnyonge anatetewa na serikali hii 1700+ kwa kidonge ni kitu gani,is just a peanut
Peanut? Mgonjwa hana bima ya taifa na anatakiwa kutumia vidonge viwili kwa siku indefinitely!!! Kutokana na afya yake hawezi kufanya kazi. Mnyonge anatetewaje hapa? Bima za afya zinalizwa sana.
 
Peanut? Mgonjwa hana bima ya taifa na anatakiwa kutumia vidonge viwili kwa siku indefinitely!!! Sasa mnyonge anatetewaje hapa? Bima za afya zinalizwa sana.
Hivyo ndo anavyotetewa sasa wewe ulitaka atetewe vipi?
 

Kwa sasa hamna TFDA


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu Zygot, sijui kama ulishafanya kazi katika hospitali yoyote au ya kutibu wagonjwa.
Tukiondoa hilo la madaktari na hospitali binafsi, hayo mengine yote ya wagonjwa kuwa 'specimen' na 'madawa feki' yanadhihirisha kwamba hujui kabisa mfumo wa matibabu na upatikanaji wa madawa hospitalini.
 
Dr Umi, (Ummy?) wa wapi?

Kuhusu "watoto wachanga kulishwa vitu badala ya nyonyo", mbona huiamini sayansi? Yale si ni maziwa tu, kama fomula nyingine yoyote inayoweza kutengenezwa?

Labda useme huna imani na mfumo mzima wa usimamizi wa utengenezaji na uhakiki; lakini sababu isiwe upungufu wowote wa lishe kwa hao watoto kutokana na hivyo vitu vilivyotengenezwa katika mazingira yetu duni.
 
Unategemea aseme mtindo uko sahihi? Kama ulifundishwa kwa mtindo huo, huo ni uzembe na ndo maana hutakuwa daktari wa kutumainiwa.

wanaojitambua huwezi kumtuma mwanafunzi kumu attend mgonjwa bila kumwambia na bila qualified kumuongoza trainee. Huo ni upuuzi! Mbaya zaidi, Muhimbili imejaa trainees wanao attend wagonjwa na kuigiza ni qualified.
 
Mimi Si mtaalam sana, Ila ngoja nichangie kidogo...
Bei za dawa au bidhaa fulani, zinaweza kutofautiana kati ya sehemu moja hadi nyingine Kutegemeana na Ulivyoipata. Kuna njia nyingi za kupata dawa, na tofauti ni kubwa kati ya Manunuzi ya dawa katika hospitali ya Umma na Manunuzi hayo ya dawa katika Duka binafsi la dawa, Njia hizo zinaweza kuchangia kutofautisha bei kati ya hapa na pale.
Tofauti nyingine kubwa, Inaweza kuwa ; Dawa ni ile ile, Ila imetengenezwa na Kampuni mbili tofauti ambapo Moja Inatengeneza Katika Branded Formulation na nyingine ni Generic formulation.
Kidonge kimoja cha Loratin (Loratadine 10mg ya Kiwanda cha CIPLA) kinauzwa 500/-, Ilhali Kidonge Kimoja cha Claritin (Loratadine 10mg ya Kiwanda cha Scherring Plough) Kinauzwa 2500/-.
Unaona Tofauti??
Bei ya dawa Muhimbili ni kubwa mno kulinganisha na maduka binafsi. Mdogo wangu aliandikiwa dawa kidonge kimoja sh 1,700+ hapo muhimbili nilipoenda duka binafsi kidonge kimoja hakikuzidi 400.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mnaibuka kutoka wapi; kuna jalala fulani mnakojificha na kuibuka kuzungumzia mambo msiyokuwa nayo ufahamu wowote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…