Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Nianze Kwa kusema au kuuliza kuwa hivi huyu Waziri husika yupo kweli na kama yuko kasusia awamu hii ya sita au?? Kwenye awamu ya tano alisikika Sana akikemea mwenendo mbovu wa Jeshi la Polisi hasa kitengo cha Usalama Barabarani. Sasa hivi kimya.
Kero yangu kubwa ni hili suala la sticker baada ya ukaguzi wa gari. Kwa magari madogo ya binafsi sticker imeandikwa Tsh 3,000/- lakini wanakuambia utoe sh 5,000/- hadi sh 7,000/-.
Na Kwa magari ya biashara imeandikwa Tsh 5,000/- lkn unaambiwa utoe sh 7,000/- Hadi sh 12,000/- . Je ukweli uko wapi?
Hata kama uko tayari kuwapatia wakati mwingine inakuwa kero kwani wanakuzungusha nazo sana. Mara zimekwisha au Vehicle Inspector hayuko yuko Barabarani utakutana nae huko. Huko Barabarani wanakukamata Kwa kutokuwa nayo na kukuandikia fine.
Hebu wahusika liangalieni hili.
Kero yangu kubwa ni hili suala la sticker baada ya ukaguzi wa gari. Kwa magari madogo ya binafsi sticker imeandikwa Tsh 3,000/- lakini wanakuambia utoe sh 5,000/- hadi sh 7,000/-.
Na Kwa magari ya biashara imeandikwa Tsh 5,000/- lkn unaambiwa utoe sh 7,000/- Hadi sh 12,000/- . Je ukweli uko wapi?
Hata kama uko tayari kuwapatia wakati mwingine inakuwa kero kwani wanakuzungusha nazo sana. Mara zimekwisha au Vehicle Inspector hayuko yuko Barabarani utakutana nae huko. Huko Barabarani wanakukamata Kwa kutokuwa nayo na kukuandikia fine.
Hebu wahusika liangalieni hili.