Kwakuwa vyama vya siasa vimekuwa na uongo mwingi je, serikali haioni umuhimu wa kuwa na mgombea binafsi (huru) ambaye hana chama chochote?

Kwakuwa vyama vya siasa vimekuwa na uongo mwingi je, serikali haioni umuhimu wa kuwa na mgombea binafsi (huru) ambaye hana chama chochote?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Vyama vya siasa asilimia kubwa vimekuwa na uongo mwingi sana, je, serikali haioni umuhimu wa kuwa na mgombea huru, ambaye hana chama cha siasa.

Nimepitia CV ya mtu anajiita Tundu Lissu nimeona hakustahili kuwa na chama chochote kwa nchi kama Tanzania ila angekuwa mgombea huru.

Unapozungumzia maadili, nidhamu, ukweli na haki na kupiga vita rushwa basi ni ngumu ukafanikiwa hii vita ukiwa ndani ya ya vyama vya siasa vya Tanzania.

Nadhani maboresho yangefanyika ili watu Kama Tundulissu wakapata nafasi ya kuonesha uwezo wao.
 
Vyama vya siasa aslimia kubwa vimekuwa na uongo mwingi Sana , je serikali haioni umuhimu wa kuwa na mgombea huru, ambaye hana chama cha siasa.

Nimepitia CV ya MTU anajiita Tundu lissu nimeona hakustahili kuwa na chama chochote kwa nchi Kama Tanzania Ila angekuwa mgombea huru.

Unapozungumzi maadili , nidhamu, ukweli na haki na kupiga vita rushwa basi ni ngumu ukafanikiwa hii vita ukiwa ndani ya ya vyama vya siasa vya Tanzania.

Nadhani maboresho yangefanyika ili watu Kama Tundulissu wakapata nafasi.
Hiyo nafasi naisubiri kwa mikono miwili. Vyama vya upinzani vimepoteza mvuto na mwelekeo. Kuruhusu nafasi ya mgombea binafsi/huru ni muhimu sana kwa sasa.
 
Vyama ni watu na uongo unaosema ni wa watu na mgombea binafsi ni mtu , je mtu huyu wa kugombea binafsi hatokua muongo?
 
Vyama ni watu na uongo unaosema ni wa watu na mgombea binafsi ni mtu , je mtu huyu wa kugombea binafsi hatokua muongo?


Ukiwa mbunge na ukaongea kuhusu rushwa basi unaweza kuvuliwa uanachama .


Kwahiyo kuna kila sababu ya kuwepo Kwa mgombea huru.
 
Ndo umuhimu wa kuwa na katiba mpya ambayo ni ndoto za mchana, acha nicheke kichina! Hihing'ong'o🤣🤣
 
Vyama vya siasa asilimia kubwa vimekuwa na uongo mwingi sana, je, serikali haioni umuhimu wa kuwa na mgombea huru, ambaye hana chama cha siasa.

Nimepitia CV ya mtu anajiita Tundu Lissu nimeona hakustahili kuwa na chama chochote kwa nchi kama Tanzania ila angekuwa mgombea huru.

Unapozungumzia maadili, nidhamu, ukweli na haki na kupiga vita rushwa basi ni ngumu ukafanikiwa hii vita ukiwa ndani ya ya vyama vya siasa vya Tanzania.

Nadhani maboresho yangefanyika ili watu Kama Tundulissu wakapata nafasi ya kuonesha uwezo wao.
Nikukosoe kidogo badala ya serikari iwe wananchi, sisi wananchi ndo tunataka mgombea binafsi, tulishapendekeza kwenye rasimi ya katiba mpya ya warioba
 
Nikukosoe kidogo bala ya serikari iwe wananchi, sisi wananchi ndo tunataka mgombea binafsi, tulishapendekeza kwenye rasimi ya katiba mpya ya warioba
Upo sahihi ila maamuzi yapo chini ya serikali. Kwa sasa na sio wananchi
 
Ukiwa mbunge na ukaongea kuhusu rushwa basi unaweza kuvuliwa uanachama .


Kwahiyo kuna kila sababu ya kuwepo Kwa mgombea huru.
Hebu tuanze na wewe kufungua kesi ya kikatiba kudai mgombea huru, kama walivyofanya akina marehemu Mtikila.
 
Vyama vya siasa asilimia kubwa vimekuwa na uongo mwingi sana, je, serikali haioni umuhimu wa kuwa na mgombea huru, ambaye hana chama cha siasa.

Nimepitia CV ya mtu anajiita Tundu Lissu nimeona hakustahili kuwa na chama chochote kwa nchi kama Tanzania ila angekuwa mgombea huru.

Unapozungumzia maadili, nidhamu, ukweli na haki na kupiga vita rushwa basi ni ngumu ukafanikiwa hii vita ukiwa ndani ya ya vyama vya siasa vya Tanzania.

Nadhani maboresho yangefanyika ili watu Kama Tundulissu wakapata nafasi ya kuonesha uwezo wao.
Hili neno!。
P
 
je, serikali haioni umuhimu wa kuwa na mgombea huru, ambaye hana chama cha siasa.
serikali ndiyo inatakiwa kuona kama kuna umuhimu au hakuna wa kuwa na mgombea huru?

Kuna haja ya soma la uraia kutiliwa mkazo zaidi, wananchi wajue
1. Kazi za serikali
2. Kazi za bunge
3. Kazi za mahakama
4. wajibu wa raia
 
serikali ndiyo inatakiwa kuona kama kuna umuhimu au hakuna wa kuwa na mgombea huru?

Kuna haja ya soma la uraia kutiliwa mkazo zaidi, wananchi wajue
1. Kazi za serikali
2. Kazi za bunge
3. Kazi za mahakama
4. wajibu wa raia


Serikali ndo imeshikilia mambo na sio bunge kibogoyo wala mahakama na raia.

Tulishapendekeza hili swala kupitia katiba ya warioba.
 
Back
Top Bottom