Kwale Kenya: Auliwa baada ya kuhisiwa kuwa na Coronavirus

Kwale Kenya: Auliwa baada ya kuhisiwa kuwa na Coronavirus

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
16,908
Reaction score
19,123
Mwanaume mmoja mkazi wa Kibundani katika Kaunti ya Kwale nchini Kenya amefariki dunia baada ya kupigwa na kundi la watu wakimtuhumu kuwa na Coronavirus. Mpaka sasa hakuna aliyekamatwa kutokana na tukio hilo.

=====

KENYA: MTU MMOJA AUAWA NA RAIA KWA KUDHANIWA ANA #COVID19

Polisi huko Kwale wanakisaka kikundi cha watu ambacho kimemuua kijana Hezron Kotin eneo la Kibundani baada ya kumtuhumu kuwa na #COVID19

Kamanda wa Polisi wa Kaunti ndogo ya Msambweni, Nehemia Bitok alisema kijana huyo alikuwa akitembea kutoka kwa eneo la kunywa na aliingia kwenye kundi la vijana ambao walianza kupiga kelele kuwa ana ugonjwa

Vijana hao walishambulia mtu huyo wakiwa na silaha na kupelekea kifo chake. Kamanda wa Polisi alisema, waligundua jeraha kubwa kichwani mwake na kumkimbiza katika Hospitali ya Rufaa ya Msambweni

Polisi wameonya raia dhidi ya kuchukua Sheria mikononi mwao au kutoa madai ya uongo wakati Nchi inachukua hatua za kupambana na janga la #COVID19

Kaunti ya Kwale imeanza kutoa mafunzo kwa Maafisa wa Afya juu ya kushughulikia kuenea kwa virusi hivyo. Afisa Mkuu wa Afya, Juma Mbete alisema wameweka vituo vitano vya kutengwa katika Kaunti zote tano
 
IQ za wakenya wengi ni finyu sana

Mwingine katoroka hospital 😂😂😂😂

Wakenya mna matatatizo ya akili kuanzia kulala na wanyama mpaka kulala na mama zenu ni picture tosha kwamba mna matatatizo makubwa vichwani mwenu.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Police in Kwale have launched a manhunt for a mob that hacked to death a middle-aged in Kibundani area after accusing him of having contracted COVID-19 (coronavirus).

Msambweni Sub-county police commander Nehemiah Bitok said Hezron Kotini was staggering home from a drinking spree when he bumped into a group of youth who started shouting that he has the coronavirus.

The rowdy youth then attacked the man with crude weapons, leaving him for dead.

The police commander said Kotini, who sustained deep cuts on his head, was rushed to Msambweni Referral Hospital where he succumbed to the injuries.

Bitok warned the public against taking matters into their hands or making false allegations as the country steps up measures to combat the COVID-19 pandemic in the country.

Meanwhile, the Kwale County Government has begun training health officers on dealing the spread of the new virus.

Health Chief Officer Juma Mbete said they have set five isolation centers in all the five sub-counties.

Source: Citizen Digital
 
Police in Kwale have launched a manhunt for a mob that hacked to death a middle-aged in Kibundani area after accusing him of having contracted COVID-19 (coronavirus).

Msambweni Sub-county police commander Nehemiah Bitok said Hezron Kotini was staggering home from a drinking spree when he bumped into a group of youth who started shouting that he has the coronavirus.

The rowdy youth then attacked the man with crude weapons, leaving him for dead.

The police commander said Kotini, who sustained deep cuts on his head, was rushed to Msambweni Referral Hospital where he succumbed to the injuries.

Bitok warned the public against taking matters into their hands or making false allegations as the country steps up measures to combat the COVID-19 pandemic in the country.

Meanwhile, the Kwale County Government has begun training health officers on dealing the spread of the new virus.

Health Chief Officer Juma Mbete said they have set five isolation centers in all the five sub-counties.

Source: Citizen Digital
SO TANZANIANS ARE SO KIND THAN KENYANS
 
Mwanaume mmoja mkazi wa Kibundani katika Kaunti ya Kwale nchini Kenya amefariki dunia baada ya kupigwa na kundi la watu wakimtuhumu kuwa na Coronavirus. Mpaka sasa hakuna aliyekamatwa kutokana na tukio hilo.

=====

KENYA: MTU MMOJA AUAWA NA RAIA KWA KUDHANIWA ANA #COVID19

Polisi huko Kwale wanakisaka kikundi cha watu ambacho kimemuua kijana Hezron Kotin eneo la Kibundani baada ya kumtuhumu kuwa na #COVID19

Kamanda wa Polisi wa Kaunti ndogo ya Msambweni, Nehemia Bitok alisema kijana huyo alikuwa akitembea kutoka kwa eneo la kunywa na aliingia kwenye kundi la vijana ambao walianza kupiga kelele kuwa ana ugonjwa

Vijana hao walishambulia mtu huyo wakiwa na silaha na kupelekea kifo chake. Kamanda wa Polisi alisema, waligundua jeraha kubwa kichwani mwake na kumkimbiza katika Hospitali ya Rufaa ya Msambweni

Polisi wameonya raia dhidi ya kuchukua Sheria mikononi mwao au kutoa madai ya uongo wakati Nchi inachukua hatua za kupambana na janga la #COVID19

Kaunti ya Kwale imeanza kutoa mafunzo kwa Maafisa wa Afya juu ya kushughulikia kuenea kwa virusi hivyo. Afisa Mkuu wa Afya, Juma Mbete alisema wameweka vituo vitano vya kutengwa katika Kaunti zote tano

Hawa jamaa wana roho mbayaaa kuliko wachina
 
Back
Top Bottom