Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Nchi hii watu wanaleta dharau, chama chetu tawala kinaleta dharua kubwa kwetu.
Awali tuliambiwa hakuna haja ya wasanii, mara paap upepo umegeuka tumeamua kufanya tamasha la wasanii tuchuje nyimbo za kuimbwa kwetu wapiga kura?
Je, ndipo mawazo na fikra zetu kuhusu kuvutia wananchi zilipoishia? Kwamba watu wakamwangalie diamondi ili wapate mlo wa siku? Wakamwangalie masanja wapate ada za watoto? Wakamwangalie Mpoto wapate fedha yakulipa Kodi?
Hapana, madaktari mlioaminiwa na chama mmefeli over confidence Ni mbaya sana. Kauli za Bashiru, Mwakyembe, Mhongo na wengineo wanaoamini Watanzania wanaishi kwa kuongozwa kwa wingi wa makaratasi ya CV mnaliteketeza Taifa.
Kuongoza watu siyo wingi wa vyeti ni wingi wa busara, hekima na intelligence ambavyo vyote hivi havisomewi unazaliwa navyo.
Tafuteni hoja, fungueni media ziripoti, ingieni mtaani tuwaambie wananchi tumefanya nn na tunataka tufanye nn then tuache wapige kura. Vyombo vya dola vinatulemaza, leo heshima ya PM inashushwa na Polisi huko jimboni kwake kwa Mambo yasiyoyamsingi. Hivi Waziri mkuu kweli Ni mtu wakuogopa wagombea shindani? Au mnamchafua na kumwaribia kesho yake kwa malengo mengine? Tujitafakari, wenzetu wanachanja mbuga bila hata msanii why not us
Awali tuliambiwa hakuna haja ya wasanii, mara paap upepo umegeuka tumeamua kufanya tamasha la wasanii tuchuje nyimbo za kuimbwa kwetu wapiga kura?
Je, ndipo mawazo na fikra zetu kuhusu kuvutia wananchi zilipoishia? Kwamba watu wakamwangalie diamondi ili wapate mlo wa siku? Wakamwangalie masanja wapate ada za watoto? Wakamwangalie Mpoto wapate fedha yakulipa Kodi?
Hapana, madaktari mlioaminiwa na chama mmefeli over confidence Ni mbaya sana. Kauli za Bashiru, Mwakyembe, Mhongo na wengineo wanaoamini Watanzania wanaishi kwa kuongozwa kwa wingi wa makaratasi ya CV mnaliteketeza Taifa.
Kuongoza watu siyo wingi wa vyeti ni wingi wa busara, hekima na intelligence ambavyo vyote hivi havisomewi unazaliwa navyo.
Tafuteni hoja, fungueni media ziripoti, ingieni mtaani tuwaambie wananchi tumefanya nn na tunataka tufanye nn then tuache wapige kura. Vyombo vya dola vinatulemaza, leo heshima ya PM inashushwa na Polisi huko jimboni kwake kwa Mambo yasiyoyamsingi. Hivi Waziri mkuu kweli Ni mtu wakuogopa wagombea shindani? Au mnamchafua na kumwaribia kesho yake kwa malengo mengine? Tujitafakari, wenzetu wanachanja mbuga bila hata msanii why not us