Kwamoto huu wa CCM Ushetu CHADEMA mlikuwa sawa kusogeza magoli nyuma | Hapa Shaka kule Mizengo Pinda pale Katambi huku Ditopile ni "Utajua Hujui "

Mbona unateseka sana bibie?
 
Mbona unateseka sana bibie?
Unayeteseka ni wewe kwa kushindwa kujibu hoja zenye akili ukafumbata MATUSI....

Huionei aibu nafsi yako kwa matusi hayo?!!

Hukulelewa vyema ?!!

Kwani sote sisi tumetoka hukohuko uswazi uswekeni....ila tunazionea aibu nafsi zetu kutukana kama vile tuwagonjwa wa Lutindi....🀣

Endelea na misamiati ya matusi...nitafutie ile mipyamipya kabisa ambayo haijafikisha hata siku 2 huko uswazi.....🀣
 
Wewe unatafuta bwana kwa nguvu.
 
Wewe unatafuta bwana kwa nguvu.
Duuh kweli wewe ni "psychopath"..🀣

Unarudiarudia maneno hayohayo kila baada ya sekunde moja....are you deluded?!! 🀣🀣

Nasubiri uniquote tena mstari huohuo uliouandika hapo juu....

Endelea nasubiri mkuu ...
 
Duuh kweli wewe ni "psychopath"..[emoji1787]

Unarudiarudia maneno hayohayo kila baada ya sekunde moja....are you deluded?!! [emoji1787][emoji1787]

Nasubiri uniquote tena mstari huohuo uliouandika hapo juu....

Endelea nasubiri mkuu ...
Sitaki mashoga mimi nina mke achana na mimi kabisa,naona unanifuatilia hadi jukwaa la Sports,wewe vipi mumeo hakufikishi summit?
 
Unahekima sana Jumbe Brown
 
Sitaki mashoga mimi nina mke achana na mimi kabisa,naona unanifuatilia hadi jukwaa la Sports,wewe vipi mumeo hakufikishi summit?
🀣🀣Unajitengenezea taswira KICHWANI na kutaka kulazimisha wengine waiamini....

Inawezekana umeamua kutumia matusi hapa JF kwa kuwafanya wengine "punching bag" kupunguza msongo wa mawazo....

Haya najitolea kuwa "punching bag" lako.....endelea kunipiga usoni...endelea "stress zitoke"....endelea mkuu fanya haraka...🀣🀣🀣🀣
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji1787][emoji1787]Nani akufuatefuate wewe?!!!

Kwani umeibandika wewe hiyo mada hapo juu ?!!!

Kuna kitu hakiko sawa fikrani mwako.... ha ha ha
Nimeshakuambia mimi sitaki mashoga.
 
Weka tume huru halafu ujitape ..huu ni ujinga. . unachagua timu, unachagua refa na unamuonya nakupa gari nakupa mshahara ole wako wapinzani washinde. Mtakuwa na mtindio wa ubongo
 
Hakuna sehemu yoyote nimekutukana bali nimetoa wasifu wako.
Unautoaje wasifu wangu ilihali HUNIJUI....

HUNIFAHAMU....

Kweli huo wasifu utakuwa una MAPUNGUFU mno.....


Inasemekana "vichaa" huwa wanawajua sana watu zaidi ya wanavyojijua wenyewe 🀣🀣
 
Unautoaje wasifu wangu ilihali HUNIJUI?!!

HUNIFAHAMU?!!

Kweli huo wasifu utakuwa una MAPUNGUFU mno.....


Inasemekana "vichaa" huwa wanawajua sana watu zaidi ya wanavyojijua wenyewe [emoji1787][emoji1787]
Siyo lazima nikujue kwa kukuona,vitabia vyako vya humu jukwaani vinatosha kukujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…