Kwangu madilu systerm ni msanii bora kuliko franco luambo makiadi

Kwangu madilu systerm ni msanii bora kuliko franco luambo makiadi

Omopa

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
335
Reaction score
1,466
Ni kama ule ubishani nani msanii bora Kati ya lucky dube na Bob Marley unashangaza kidogo japo kwangu lucky dude ni msanii bora kuliko Bob Marley the same kwa madilu systerm na franco luambo makiadi kwangu madilu ni bora kuliko franco mimi kwangu franco ni namba mbili baada ya madilu.

Japo madilu alikaribishwa na kukuzwa na franco pale Tp OK jazz ila hiyo hainiondolei kusema ya kwamba madilu systerm ni bora kuliko franco we jaribu kucompare nyimbo za madilu kama vile ya jean,voisin,biya,nzele,Aminata na nyinginezo na zile za franco kama vile non,tres impoli,mamou na Mario hata kwenye nyimbo ya mamou franco amefunikwa na madilu systerm.
 
Miss Mia you must be really cute otherwise sina cha kujibu. .

Franco Ana hits kwenye santuri 1985/86 Mario, mamou akiwa na madilu. They were big hit. .
 
Back
Top Bottom