Kwangu Mimi Muzamiru na Kibu ndiyo walicheza vyema Jana huku Job na Mwamnyeto wakicheza vibaya

Ni mpumbavu kama wewe ndio anaweza kuwa na mawazo ya kijinga na kisengelema Kama yako... Job na mwamnyeto ni mabeki.... Hawajaruhusu nyavu zao kutikisika, huku hao wazee wa pira papatupapatu wakiwa safu ya mbele wameshindwa kupata hata gori la offside.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…