Kwangu mm Extraction ndio movie bora 2020

Mm sikufich ktk avengers nampenda sn iron man unajua kwann japo anadanganya lkn mtu ukithink it is possible lkn kwa anti man hapana au yule niga rafk yke captain america lkn kwa wonder woman nu fix tupu
 
Uongo mtupu haiwezekan movie nzima isikatwe HOW !!!
Yeah haiwezekani sababu waliotumia miezi kushoot.

Ila kwenye movie hakuna cutscene wala kuchezesha camera.
Ni kama walirecord mkupuo mmoja movie nzima.
 
mtu unaangalia movie ya genre ya sci-fi alafu unataka uhalisia? umeona wapi? tue fact kwamba ni sci-fi maana yake sio uhalisia ni fiction tu mambo ya kufikirika ndo hayo mtu anageuka kuwa gari.

so kama sci-fi genre hauzipendi usiponde bali tafuta hizo za war
 
Marvel wamekosa washaur ile kamba wamekosea kuwa ya mionz bora ata ingekuwa kawaida alafu mtu anapaa na bomu rocket how is this possible ni pumba tupu afu kwenye movie bora yenyewe ndio namba 1 hawa marvel wamechoka
mkuu ndo muvi zinazoingiza mpunga mrefu na studio zinpiga profit ya kufa mtu
 
bonge la kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…