Kwangu Sarafina Michael ataendelea kuwa mshindi bora wa Bongo Star Search toka ianze!

Kwangu Sarafina Michael ataendelea kuwa mshindi bora wa Bongo Star Search toka ianze!

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Sauti yake ni nzuri inafit vilivyo ndie mshiriki na mshindi wa BSS ninaemuelewa vilivyo kwa uwezo wake wa kuimba!. Sio kwamba wengine hawajui no,wanajua lakini huyu kwangu ndo best till now.
BSS ya mwaka 2018 ilitupatia mshindi bora kuwahi kutokea ambae ndo huyu mwanadada Sarafina Michael.

Naomba nisiseme mengi nitaweka hapa video zake.
 
Ni kipaji cha pekee.
Natamani kuona akiwa mwimbaji na msanii mkubwa, ingawa bahati mbaya sana mashindano yetu yanayo nafasi ndogo sana kuendeleza vipaji kama hivi.
 


Bata watanuna..🤣
Naishiwa hata maneno ya kuandika cha zaidi watu furahieni sauti tamu tu ya huyu kiumbe.
 
Mshindi bora niyule anayeweza ku-survive kwenye mziki baada ya BSS.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la mashindano kama hayo, washiriki wanaimba nyimbo za watu.

Sasa msanii akisharudi mtaani, anatakiwa kuimba nyimbo zake hapo ndio tatizo linapoanzia.

Na kingine mtaani siyo kipaji, ni unamjua nani au una connection gani ??

Ni mwendo wa janja janja united.
 
Mshindi bora niyule anayeweza ku-survive kwenye mziki baada ya BSS.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko mi sijagusia ndugu hapa nazungumzia uwezo wake wa kuimba na si kutoboa!.. nafahamu hata hilo ni jambo muhimu lkn uwezo wake unauzungumziaje..? Msikilize sauti,vocal zake mipangilio n.k mtoto anavyonata na biti Kama amekula yabisi mpk mimacho inawatoka mafisi..😂
 
Nini maoni yako kuhusu hawa wa leo.?
Ha ha! Mkuu bila kupindapinda hii bss ya mwaka huu mimi binafsi sijaonamo..😅 siwezi sema wamefanya zero no wamefanya na wamejitahidi sana lkn sioni Kama atapatikana Kama Sarafina Michael au hata meshack yule wa 2019 nae yule ni kiboko! Yule jamaa nae namkubali anasauti ya pekee sana na kwa kuwacharaza wenzake aliwacharazia kwenye sauti ya kipekee na alivyokuwa akimudu kuimba vocal za juu.. But Sarafina Michael she's the best to me haya ya leo namuachia yesu apambane na watu wake..😎🤣
 
Tatizo la mashindano kama hayo, washiriki wanaimba nyimbo za watu.

Sasa msanii akisharudi mtaani, anatakiwa kuimba nyimbo zake hapo ndio tatizo linapoanzia.

Na kingine mtaani siyo kipaji, ni unamjua nani au una connection gani ??

Ni mwendo wa janja janja united.
Watunzi wa nyimbo wapk wengi saana siku hizi hata hiyi.songs unazozisikia zina watunzi tofauti na wanazoimba sema kimbongobongo hatuna acknowledgements .


Kama ni hivyo they're only parrots and imitators

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom