Kwani Azam TV Wataonyesha Kombe la Dunia huko Russia 2018?

Game zitaonekana TBC 1 na UBC wameshatangaza kuzionyesha live bila chenga,FOX Sports pia wataonyesha
 
Azam washenzi kweli yaani walipoona TV1 nayo imeanza kuleta wachambuzi mahiri wa michezo na kuonesha live matches za EPL wakaitoa kwa kuhofia ushindani.

Kuangalia WC kupitia TBC au UBC kwa ile quality ya picha heri umelala Tu.
 
Kama wanaonyesha waanze kutoa matangazo sio kukaa kimya tu sisi wengine vijijini hatuna hiyo supersport
Hawawezi kufanya matangazo kwa kuwa sio chanel zao zinazo onesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…