Kwani ckuhizi viongozi wanatafuta wapenzi majukwaani

kaka h

Member
Joined
Sep 6, 2010
Posts
38
Reaction score
7
Eti jamani kuna hili swala mimi nashindwa elewa iweje mahusiano ya kimapenzi ya viongozi yatumike kama sera za vyama vingine.....ooh! Dk.slaa ana mchumba oo! kachukua mke wa mtu.....kwani hawa wapenzi ndo sera? mimi nadhani wajiaibisha au wadau mnaonaje.....
 
Wenye akili finyu watabaki wakibadilishana hayo, badala ya sera halisi....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…