johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nilimsikia waziri wa fedha Dr Mpango akiwaambia watumishi wa Hazina kwamba fedha zinaliwa sana kwenye halmashauri kwa kutumia utaratibu wa sasa wa " Fosi Akaunti"
Jana nikamsikia waziri wa Tamisemi Jaffo akisema DED wa Geita alitumia mwanya wa kuvunjwa Baraza la Mawaziri akakimbia haraka haraka kujinunulia Toyota VX kwa bei ya kilanguzi.
Ndiposa nauliza:
1. Bei halali ya Toyota VX ni Tsh ngapi?
2. Utaratibu wa manunuzi serikalini ukoje?
3. Baraza la mawaziri lilivunjwa lini?
4." Fosi Akaunti" hutumiwa sana na Mh Jaffo kwenye ujenzi wa zahanati na shule, je tumepona kweli huko?
Tuchape kazi jamani sasa hakuna madiwani wa Chadema wa kuwasingizia.
Maendeleo hayana vyama!
Jana nikamsikia waziri wa Tamisemi Jaffo akisema DED wa Geita alitumia mwanya wa kuvunjwa Baraza la Mawaziri akakimbia haraka haraka kujinunulia Toyota VX kwa bei ya kilanguzi.
Ndiposa nauliza:
1. Bei halali ya Toyota VX ni Tsh ngapi?
2. Utaratibu wa manunuzi serikalini ukoje?
3. Baraza la mawaziri lilivunjwa lini?
4." Fosi Akaunti" hutumiwa sana na Mh Jaffo kwenye ujenzi wa zahanati na shule, je tumepona kweli huko?
Tuchape kazi jamani sasa hakuna madiwani wa Chadema wa kuwasingizia.
Maendeleo hayana vyama!