Kwani hii dhana bado ipo...??

Siishii hapo tu, na limbwata namnunulia ili aniwekee zaidi na zaidi........
 
Siishii hapo tu, na limbwata namnunulia ili aniwekee zaidi na zaidi........
Haaa haaa haaa,
Hapa babu Mmmmmh!
Wenye macho hawaambiwi tizamen,wataisoma wenyewe!
Haya ndio mapenz bwana!!!
Hkuna cha umri wala nn,mkizimikiana basiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
whats matters there is love an not damn age meeeeeeeeeeeeeeeeen
 
Nafikiri inategemea, kuna wengine kuzidia umri siyo ishu na kuna wengi huwa sababu ya migogoro ndani ya ndoa. Cha msingi cha kujiuliza, kuna mapenzi ya kweli kati ya hao wanaopendana waliozidiana umri?
 

Unapoongelea mapenzi , unaongelea love mates na si age mates wala wanaotamaniana mates . Sihitaji kufafanua.
 
mi namzidi mke wangu mwezi mmoja tu lakini tunapenda vizuri na familia ina amani
 
Mzeee wangu vp tena,
Funguka bwana hapo umeniacha njia panda lol!!!

khabari yako canty?
Mi uzoefu wangu mapenzi ya age mates huwa ni matamu mwanzoni yani full mashamsham...ila kuna matatizo a.k.a migogoro mnapoishi kindoa mkiwa na umri mmoja bisha usibishe...akili zenu zikiwa zote za kitoto(especially at early stages of marriage) mkivurugana kidogo BUSARA hakuna hapo....na kuna jambo lipo na litaendelea kuwapo Umri katika ndoa ni issue wala msijidanganye my fellows
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…