Kwani kuna tatizo mwanaume kuvaa 'kacha' (Culture)?

Kwani kuna tatizo mwanaume kuvaa 'kacha' (Culture)?

G_real

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2019
Posts
684
Reaction score
855
Wakuu mimi napenda sana kuvaaa 'kacha' (Culture) za shanga wanazovaa Wamasai na napenda kuvaa za bendera za Africa, ila kuna watu huwa wananiambia hizi kacha wanastaili wavae watoto wa kike.

Je, ni kweli au?

IMG_20191112_121638_0.jpeg
californiatz-20191106-0008.jpeg
 
Mbona Rais wa Kenya Mh. Uhuru Kenyata anavaa culture siku zote na mahali popote. Fanya moyo wako unachoona sawa.

president-uhuru-kenyatta.jpg
 
Sishangai, ila mimi mwenyewe siyakubari kabisa! Shanga, vitege, madela ya wanaume siamini kama naweza vaaa
 
Sishangai, ila mimi mwenyewe siyakubari kabisa! Shanga, vitege, madela ya wanaume siamini kama naweza vaaa
Madela ya wanaume yapoje hayo mkuu[emoji16]
 
Back
Top Bottom