KIKUKI
Member
- Jul 4, 2019
- 9
- 7
Binaadamu tunatofautiana katika uendeshaji wa maisha yetu ya kila siku
Kwa Upande wa usafi wa mashuka, wapo wanaolalia siku moja , wengine kila baada ya wiki , wengine wanaenda mbali zaidi mpaka siku akiwa na shoo na mtoto wa kike ndio hubadilisha au kufua shuka lake
Ukiachana na suala la shuka kuchafuka , kikawaida kila baada ya siku ngapi unatakiwa ubadilishe shuka au kulifua ??
Kwa upande wangu sisemi uongo mpaka shuka libadilike rangi au nipate taarifa kuwa kuna mgeni anakuja
Ata usipolifua wiki Mtu hafi kwa kuvilu chake mwenyewe hahaha
Njooo utupe ushuhuda wa shuka lako unabadili kila baada ya muda gani
Kwa Upande wa usafi wa mashuka, wapo wanaolalia siku moja , wengine kila baada ya wiki , wengine wanaenda mbali zaidi mpaka siku akiwa na shoo na mtoto wa kike ndio hubadilisha au kufua shuka lake
Ukiachana na suala la shuka kuchafuka , kikawaida kila baada ya siku ngapi unatakiwa ubadilishe shuka au kulifua ??
Kwa upande wangu sisemi uongo mpaka shuka libadilike rangi au nipate taarifa kuwa kuna mgeni anakuja
Ata usipolifua wiki Mtu hafi kwa kuvilu chake mwenyewe hahaha
Njooo utupe ushuhuda wa shuka lako unabadili kila baada ya muda gani