Kwani kuna Ulazima wa kufua Shuka ?

Kumbe shuka huwa zinafuliwa!!!.watu wa magetoni hatutambui hiyo kitu..ikitandikwa siku ya kwanza kuja kubadilishwa ujue imeletwa mpya tena hapo baada ya miezi kadhaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi najitahidi kuzingatia usafi wa shuka mara moja kwa wiki. Kuna wakati napitisha wiki 2 bila kubadili.
Sema kitandani nalala nikiwa nimeoga na sipaki mafuta kwa hiyo uwezekano wa shuka kuchafuka ni mdogo sana.
Pia nalala mwenyewe kwa hiyo shuka inabaki safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…