CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
Juzi nilienda NMB Bank ili kupata mkopo lakini nikashindwa kwa madai kuwa sina barua ya kuthibitishwa kazini (wakati huo nina salary slip 3, kitambulisho, barua ya utambulisho na vitu vingine). Zamani NMB Bank ukiwa na 'take home' hata ya laki 2 ungeweza kukopa hata milioni 7! Sasa hivi NMB mtu mwenye laki 3 'take home' anakopa mwisho Tshs Milioni 4, Poor NMB!
Nirudi kwenye mada; Kutokana na mshahara kuwa mdogo wafanyakazi wengi wa serikali wangependa kukopa kwa riba nafuu, nikajiuliza kama kwenye simu unaweza kukopeshwa 500 ukalipa shilingi 680, Je, si zaidi kama wangetoa mikopo mikubwa zaidi ya ile wanayochukua akina mcharo?
Natoa hoja.
Nirudi kwenye mada; Kutokana na mshahara kuwa mdogo wafanyakazi wengi wa serikali wangependa kukopa kwa riba nafuu, nikajiuliza kama kwenye simu unaweza kukopeshwa 500 ukalipa shilingi 680, Je, si zaidi kama wangetoa mikopo mikubwa zaidi ya ile wanayochukua akina mcharo?
Natoa hoja.