Kwani Mbowe ni lazima awe mwenyekiti ndo achangie CHADEMA, kwani wote wanaochangia Wana cheo CHADEMA?

Kwani Mbowe ni lazima awe mwenyekiti ndo achangie CHADEMA, kwani wote wanaochangia Wana cheo CHADEMA?

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Hii hoja ingekuwa na nguvu Sana kama Mbowe asingejitangaza hadharani kwamba amechangia Chama hivyo anaona astahili kuwa Mkiti

Anataka kutuaminisha kwamba uongozi wa CHADEMA Huwa unanuliwa

Mtu yeyote mwenye hela hata za mihadarati au kibaraka wa watu waovu wanaweza wakapewa Kwa sababu ya kuwa na hela

Hii inatosha kanisa kumuondoa kwenye hiyo ana nafasi

Kuna watu wajinga wanataka kutuaminisha kwamba huturuhusiwi kukosoa CHADEMA ambacho ni Chama Cha Umma

Chama Cha Siasa sio kampuni binafsi , kikishasajiliwa ni Mali ya Umma na ndo maana kinakaguliwa na CAG

Mabadiliko yamemfikia Mbowe aliyehubiri mabadiliko hayakwepeki akabali tu au asubiri ya mbadilishe yeye
 
Hii hoja ingekuwa na nguvu Sana kama Mbowe asingejitangaza hadharani kwamba amechangia Chama hivyo anaona astahili kuwa Mkiti

Anataka kutuaminisha kwamba uongozi wa CHADEMA Huwa unanuliwa

Mtu yeyote mwenye hela hata za mihadarati au kibaraka wa watu waovu wanaweza wakapewa Kwa sababu ya kuwa na hela

Hii inatosha kanisa kumuondoa kwenye hiyo ana nafasi

Kuna watu wajinga wanataka kutuaminisha kwamba huturuhusiwi kukosoa CHADEMA ambacho ni Chama Cha Umma

Chama Cha Siasa sio kampuni binafsi , kikishasajiliwa ni Mali ya Umma na ndo maana kinakaguliwa na CAG

Mabadiliko yamemfikia Mbowe aliyehubiri mabadiliko hayakwepeki akabali tu au asubiri ya mbadilishe yeye
Uko sahihi anaweza kuchangia akiwa raia wa kawaida, but one has to be with a purpose. Purpose ni siri yake.
Sasa basi changi wewe, si lazima Mbowe
 
Kuna Mzee Sabodo
Mzee ndesa pesa (Ndesamburo)
Hao walikuwa changiaji wakubwa wa chama teeena Sabido hakuwa hata na kadi
 
Mbowe mambo magumu.Alafu kumbe upepo wa kisiasa unabadiliki haraka haraka hivi,juzijuzi tu hapa kulikua na nyimbo za mwamba tuvushe?
 
Back
Top Bottom