Kwani mjini kuna habari gani muda huu?

"Makufuli" ya watanzania yanavumilia mengi, kama ni tunzo za uvumilivu basi ile shahada ya udaktari iliyotolewa kule dodoma ndio zipewe "kufuli" za wabongo tena wakike na ikiwezekana wafanye 4 kabisa .
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huu Uzi bwana [emoji897][emoji897]..kazi kwelikweli
 
Naishukuru serikali ya awamu ya 5 na sisi wanyonge pia ambao hatuwezi kupata papchi za "mastaa" basi tunaziona...maendeleo hayana chama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaahh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…