Katikiro
Member
- Nov 12, 2008
- 15
- 22
Niliwahi sema kwa kuuliza swali; kwamba tutegemee Bunge gani kama 90% ya wabunge wa CCM walipatikani kwa mizengwe na Rushwa?
Kwamba wataenda kumlipia nani fadhila za kuwa mbunge, mwananchi ambaye hata hivyo hakumchagua kwa kura za kutosha ama aliyemfadhili kuupata ubunge huo?
Angalia Bungeni, utapata jibu.
Kwamba wataenda kumlipia nani fadhila za kuwa mbunge, mwananchi ambaye hata hivyo hakumchagua kwa kura za kutosha ama aliyemfadhili kuupata ubunge huo?
Angalia Bungeni, utapata jibu.