Kwani neno spana limetoka wapi?

M.Rutabo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
1,031
Reaction score
2,647
Yani Kama Kuna Nchi ni ngumu kuishi Tanzania inatia fola. Kwenye maneno yote ulimwenguni mmechagua spana?
 
Limetoka kwenye kiingereza
 
Hili nadhani yule jamaa wa Twitter ndo kalianzisha,ana maneno machafu sn yl mtu
 
Jamani nimetoka job,nagoogle kigogo Twitter naona yupo suspended. CCM naona wamemchongea kwa Jack.
 
Jamani nimetoka job,nagoogle kigogo Twitter naona yupo suspended. CCM naona wamemchongea kwa Jack.
Ni kama amefungua akaunti mpya inaitwa, fichua Tanzania, sasa hivi inapata followers wengi balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…