Kwani ni Lazima kupost kila kitu mtandaoni? Maana Snura alipost kavideo akitaka kuchimba dawa

ObieTrice

Senior Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
159
Reaction score
154
Snura alivyokuwa matata anapost video akitwerk na kukatika. sasa akaona apost video akielekea kuchimba dawa... hahahahah!
 
Sitoshangaa na yeye siku akija akisema ndio kwanza ana miaka 25[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Sitoshangaa na yeye siku akija akisema ndio kwanza ana miaka 25[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
🙁 hahahahah kama wema sepetu
 
Ukijumlisha umri mixer mambo anayoyafanya ni tatizo
Kiukweli mastaa wengi wa kibongo ni mangumbarooo saaanaaa...
Huyu dada kimsingi asingekuwa na matako wala asingekuwa msanii...anachijua yy ni kutingisha matako akidhani huo ndio usanii...
Wasanii wengi (hasa wa kike)hawana chochote cha maana cha kisanii cha kupost ili wawe juu zaidi ya kupost upuuzi...Sasa km msaniii ni kioo cha jamii huo upuuzi anaoupost unaifundisha jamii nn ? Je,kwa kijana mdogo anayetaka na kuwa inspired na huyo dada anajifunza nn ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…