pinkpink Member Joined Feb 2, 2013 Posts 75 Reaction score 31 Aug 18, 2013 #1 nimepewa dawa za minyoo vidonge vitano hospital nimeambiwa nitumie mida ya asubuhi, ila mtoa dawa hajaniambia kama nitafune au vip..kwa upande wangu naona nimeze na maji bila kutafuna kama Bublish
nimepewa dawa za minyoo vidonge vitano hospital nimeambiwa nitumie mida ya asubuhi, ila mtoa dawa hajaniambia kama nitafune au vip..kwa upande wangu naona nimeze na maji bila kutafuna kama Bublish
M mhondo JF-Expert Member Joined Apr 23, 2011 Posts 968 Reaction score 354 Aug 18, 2013 #2 Ungemuuliza mtoaji wa hizo dawa ingekuwa vizuri zaidi.
sir Ganto G JF-Expert Member Joined Jul 22, 2013 Posts 573 Reaction score 114 Aug 20, 2013 #3 ni lazima utafune,ndo ilivyo acha miswali mingi...