Last_Born
Member
- Dec 9, 2022
- 69
- 100
Nimekua mfuatiliaji mkubwa sana wa masuala ya teknolojia hasa huu upande wa website na apps, pia nimejaribu kufanya utafiti mdogo wa Apps zilizopo Google play store Kutoka Tanzania aisee ni aibu tupu download rates ni ndogo mno nashindwa kuelewa tatizo nini apps hazieleweki au hazitoi suluhisho.
Nimegundua 5% zina download million 1+
10% 100+k
10% 50k-100k
25% 1k - 10k
50% 0-1k
Je, tunakwama Wapi?
1. Kukurupuka biashara ya app bila kujipanga?
2. Hatujui kujibrand?
3. Uvivu wa kuwekeza?
4. Teknolojia yetu ni ndogo sana?
5.
6.
7.
8.
9.
10.
Shida ni nini Sisi watanzania tunafeli wapi?
Nimegundua 5% zina download million 1+
10% 100+k
10% 50k-100k
25% 1k - 10k
50% 0-1k
Je, tunakwama Wapi?
1. Kukurupuka biashara ya app bila kujipanga?
2. Hatujui kujibrand?
3. Uvivu wa kuwekeza?
4. Teknolojia yetu ni ndogo sana?
5.
6.
7.
8.
9.
10.
Shida ni nini Sisi watanzania tunafeli wapi?