GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mamlaka ya Hali ya Hewa ( TMA ) walikuwa very active kutupa updates za Kimbunga Jobo, ila nashangaa kuhusu hii Mvua kubwa na ya ghafla iliyoleta Baridi Jijini Dar es Salaam hawajatuambia na moaka sasa wameendelea Kuuchuna ( Kunyamaza ) tu.
Kwa Ubaridi huu ( Baridi hili ) la Sasa hapa Dar es Salaam naweza kusema Wanaume Shupavu na tunaooga Maji baridi Kiukakamavu tuko wachache sana wakiongozwa na GENTAMYCINE Mwenyewe.
Wanaume wengi Lonyo Lonyo ( Laimi Laini ) nina uhakika leo Asubuhi na hata Usiku huu wamegombana na Wake ( Wapenzi ) wao kwanini wamechelewa Kuwachemshia Maji ya Moto ya Kuoga.
Kama tu Umeoga Maji Baridi jipongeze.
Kwa Ubaridi huu ( Baridi hili ) la Sasa hapa Dar es Salaam naweza kusema Wanaume Shupavu na tunaooga Maji baridi Kiukakamavu tuko wachache sana wakiongozwa na GENTAMYCINE Mwenyewe.
Wanaume wengi Lonyo Lonyo ( Laimi Laini ) nina uhakika leo Asubuhi na hata Usiku huu wamegombana na Wake ( Wapenzi ) wao kwanini wamechelewa Kuwachemshia Maji ya Moto ya Kuoga.
Kama tu Umeoga Maji Baridi jipongeze.