Kwani tuna akina Prof. Mukandala wangapi jamani?

Kwani tuna akina Prof. Mukandala wangapi jamani?

Chalii Wa Kipare

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
462
Reaction score
907
Nimejaribu kusikiliza anachozungumza lakini kama nashindwa kuelewa, ni MUKANDALA yule wa KIKOSI KAZI au ni mwingine?

===

Akitumia maandiko ya Jaji Ibrahim Juma (1998), Prof. Mukandala anaeleza:

"Mchakato wa kufanya maamuzi nchini Tanzania unaathiriwa na Katiba ambayo imetengenezwa kuuzunguka Urais wenye nguvu sana, kila sekta ya umma inalazimika kutegemea ofisi ya Rais katika utendaji kazi wake kwa kutumia mamlaka yake makubwa ya kuteua kupandisha vyeo na kuwafukuza watu katika utumisha wa umma Rais anaweza kuhakikisha wateule wake wanatekeleza majukumu kama apendavyo yeye."
 
Jamaa kachangia kwa kiasi kikubwa kuua struggle za Katiba halafu leo anajitutumua🚮
Kweli kabisa. Ana taasisi uchwara inaitwa REDET, sijui kama bado ina operate. Ilikuwa ni taasisi ya mchongo ku divert mamabo makubwa ya kisiasa na kujenga uchawa.
 
Kweli kabisa. Ana taasisi uchwara inaitwa REDET, sijui kama bado ina operate. Ilikuwa ni taasisi ya mchongo ku divert mamabo makubwa ya kisiasa na kujenga uchawa.
Yakufanya assessment baada ya Uchaguzi halafu anauambia umma Uchaguzi ilikuwa fair kabisa🚮🚮🚮 Leo anatoa wapi huo ujasiri wa kuyazungumza haya?
 
Tunaonekana mafala sana aisee, kuna siku Wakenya wakawa wanatujadili kwamba inawezekanaje Rais anateua wasimamizi wa Uchaguzi ilihali nayeye nimshindani. Wanasema bado watz wapo usingizini.
Bora hata sisi ambao tunaathiriwa na siasa za chama kimoja kuliko Kenya ambako kama hujazaliwa Mkalenjini au Mkikuyu huwezi kuwa Rais Kenya.
 
Tunaonekana mafala sana aisee, kuna siku Wakenya wakawa wanatujadili kwamba inawezekanaje Rais anateua wasimamizi wa Uchaguzi ilihali nayeye nimshindani. Wanasema bado watz wapo usingizini.
Mbaya zaidi tunatawaliwa na Mzanzibar. Nyerere mungu amchome moto hasa huyu mzee kaleta nuksi sana katika nchi yetu Tanganyika.
 
Back
Top Bottom