MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Waslaam wana JF
Tumsifu yesu kristu taifa la Mungu, Bwana wetu Yesu Kristu Asifiwe, Asalaam Aleykum
Tangu mchungaji pendwa atoe taarifa ya kupewa likizo na kuambiwa akaripoti makao makuu, habari za Dr. Kimaro ambaye alikua mchungaji katika ushirika wa Kijitonyama zime trend kwa kasi ya 5G.
Kweye hizo habari wapo wanaosema ni utaratibu wa kawaida wa kikanisa, wapo wanaosema ni adhabu ambayo inatokana na kiburi na utukutu wa huyo mchungaji pendwa, na wapo ambao wanadhani mchungaji pendwa ameonewa na anapaswa arudishwe kwa haraka come what may.
Cha ajabu mchungaji pendwa mwenyewe hajaulizwa yeye anaonaje yaani ni yapi maoni yake kuelekea utekelezwaji wa maagizo ya waajiri wake.
Kuna haya ya vyombo vya habari kutujuza nini maoni ya mchungaji pendwa kuelekea utekelezwaji wa maamuzi ya waajiri wake
Nawasilisha.
Tumsifu yesu kristu taifa la Mungu, Bwana wetu Yesu Kristu Asifiwe, Asalaam Aleykum
Tangu mchungaji pendwa atoe taarifa ya kupewa likizo na kuambiwa akaripoti makao makuu, habari za Dr. Kimaro ambaye alikua mchungaji katika ushirika wa Kijitonyama zime trend kwa kasi ya 5G.
Kweye hizo habari wapo wanaosema ni utaratibu wa kawaida wa kikanisa, wapo wanaosema ni adhabu ambayo inatokana na kiburi na utukutu wa huyo mchungaji pendwa, na wapo ambao wanadhani mchungaji pendwa ameonewa na anapaswa arudishwe kwa haraka come what may.
Cha ajabu mchungaji pendwa mwenyewe hajaulizwa yeye anaonaje yaani ni yapi maoni yake kuelekea utekelezwaji wa maagizo ya waajiri wake.
Kuna haya ya vyombo vya habari kutujuza nini maoni ya mchungaji pendwa kuelekea utekelezwaji wa maamuzi ya waajiri wake
Nawasilisha.