Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kuna huu usemi umeingia. Yaani Ni shiiidaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi mubaya Sana.Kwani huo mchoro wenyewe unasemaje?
Huu msemo unapatikana kwa wingi huko Facebook ndo kuna wehu wengi hapa great thinkers msemo huo hauwezi pata nafasi.Kuna huu usemi umeingia. Yaani Ni shiiidaaa
Soma post#2Huu msemo unapatikana kwa wingi huko Facebook ndo kuna wehu wengi hapa great thinkers msemo huo hauwezi pata nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani facebook wenyewe wanasemaje?[emoji848]Huu msemo unapatikana kwa wingi huko Facebook ndo kuna wehu wengi hapa great thinkers msemo huo hauwezi pata nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mleta uzi yeye mwenyewe anasemaje?Kwani facebook wenyewe wanasemaje?[emoji848]
Kwani mleta uzi yeye mwenyewe anasemaje?
[emoji23]
Sasa mama yake anahusika vipi mkuu?kwani hakuna option ya jibu jingine hadi ahusishwe MAMA?hivi mbona tunawachukulia poa sana mama za wenzetu,wako akifanyiwa hivyo utapenda?.kamuulize mama yako alielezwa na mshikaji wake
NakaziaSasa mama yake anahusika vipi mkuu?kwani hakuna option ya jibu jingine hadi ahusishwe MAMA?hivi mbona tunawachukulia poa sana mama za wenzetu,wako akifanyiwa hivyo utapenda?.
KANUNI BORA YA UTU: LOLOTE LILE MNALOTAKA WATU WAWATENDEE NINYI NANYI TENDENI HIVYO.
Watu pia huuliza "kwani kigogo kasemaje"?Ulitokea wapi au ulianzaje anzaje?
He!!!Kwani facebook wenyewe wanasemaje?[emoji848]