Kwani zuku nao matapeli?

Kwani zuku nao matapeli?

pye Chang shen

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
11,422
Reaction score
6,108
Hawa jamaa naona wameanza na wao kuzingua sasa. Ninazo akaunti mbili na wao zilikua zinaenda vizuri tu,
Ila tangu juzi nimelipia huduma na bado sijafungiwa walisema ndani ya saa 24.

Ila leo ni 96 hours, Nikiwapigia simu wanasema fundi tayari ana vifaa vyako atafika sasa hivi sasa sijui kapotea au ndio nishaingizwa mjini. Unajua tena awamu hii wenye nguvu wanafanya watakavyo

Ukiwashtaki wanakugeuzia kibao
 
Nimetoka kuongea nao sasa hivi ni kweli napata khofu hawa ni matapeli,
Eti wanadai decoder hakuna wakati jana wamesema tayari wamempa fundi na yuko njiani?
Nawasihi watanzania wenzangu kuwa na tahadhari na watoa huduma uchwara
Nawaambia basi rudisheni hela yangu wanasema no refund
Huu sio utapeli?
 
Kwa anae jua please nitumie njia ipi kushtaki tcra ili nipate haki yangu?
 
Nimetoka kuongea nao sasa hivi ni kweli napata khofu hawa ni matapeli,
Eti wanadai decoder hakuna wakati jana wamesema tayari wamempa fundi na yuko njiani?
Nawasihi watanzania wenzangu kuwa na tahadhari na watoa huduma uchwara
Nawaambia basi rudisheni hela yangu wanasema no refund
Huu sio utapeli?
Aliporwa na vibaka jirani zako, nani alaumiwe kama si wewe kwa kuwafumbia macho vibaka.
 
Ndugu mteja pole kwa usumbufu ulio jitokeza ila tunakuhakikishia fundi yuko njiani tunaomba ulipie tena kwa mara ya pili kiasi kile kile ulicholipa ili upate bonus ya kutumia internet miez 6 buree
 
Ndugu mteja pole kwa usumbufu ulio jitokeza ila tunakuhakikishia fundi yuko njiani tunaomba ulipie tena kwa mara ya pili kiasi kile kile ulicholipa ili upate bonus ya kutumia internet miez 6 buree
Duh,
Yaani wewe Kama sio mfanyakazi wao basi utakuwa muhanga kama Mimi
Kwani hivyo hivyo ndio kauli zao
 
Back
Top Bottom