Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Hahaaa ngonja uone huataamin kitakacho tokeaUnaota wewe. Unafikiri we una mawazo makubwa ya uchambuzi wa mechi kuliko makoach zaid ya 6 walioajiriwa pale man city?
Kwa mtu aliyeangalia game la spurs na man city game la kwanza hawezi andika hii comment kwa kujiamin
Mpeni tena guardiola dola billion moja atengeneze kikosi,Unaota wewe. Unafikiri we una mawazo makubwa ya uchambuzi wa mechi kuliko makoach zaid ya 6 walioajiriwa pale man city?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaota wewe. Unafikiri we una mawazo makubwa ya uchambuzi wa mechi kuliko makoach zaid ya 6 walioajiriwa pale man city?
πππππ hazitoshi mkuu wafanye dola bilioni moja na nusu.Mpeni tena guardiola dola billion moja atengeneze kikosi,
Kwani amefungwa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ilo iwejeMpeni tena guardiola dola billion moja atengeneze kikosi,
Ulisahau kusema kuwa Spurs pia ana uwezo wa kutupia zaidi ya 2 kama alivyoanzisha kule home ground.