Kwa uzoefu wangu ni kweli kabisa....
Natudi baadaye kidogo!!
Babu DC!!
Kwa uzoefu wangu ni kweli kabisa....
Natudi baadaye kidogo!!
Babu DC!!
Ikiwa demu ndio aliyekutema, misjifanye hamnazo, inaumajeee
shikamoo babu
sio kweli... unsigeneralize tafadhali
babu rudi utupe maexperience yako......
Kuna kijitu rohoni kinakuwepo hivi
kama kinasema 'kwa nini kanisahau haraka hivyo?'
kumbe ngoja nianze kuchunguza wale wa kwangu!!!!!
Chauro,
Kuna exceptions nyingi pia...
Kwa wale ambao mnaachana kwa kukubaliana...may be kuna jambo ambalo liko wazi kwamba hamuwezi kusonga mbele inaweza kuwa tofauti!
Na especially wale ambao mnaendelea kupeana updates...mambo lazima yatakuwa tofauti!!
Babu DC!!