kwanin wanaume huumia akiona X wake amemove on

mambo wadau! mimi nina hili swali huwa linanitatiza, kuna baadhi ya wanaume wakiona maX wao wamemove on ( kapendeza, she is happy, anadate na mtu mwingine ) huwa wanaumia yan wivu si wivu anaweza akutukane we bila sababu tatizo huwa ni nin hasa?

The same applies to you.
 
hivi ni wanaume tu?na nyie wadada mnajisikia poa tu?yaani unimwage kwa vile ulikuwa unaniona kapuku tu halafu niibuke na demu mkali na matawi kuliko wewe halafu utajisikia poa tu?nadhani tatizo sio jinsia eti kwa vile ni mwanaume ndio ataumia,yeyote ataumia endapo utataka mashindano na mtu ambaye ushaachana nae!
 
Kama ntampata mwngne wa kumfunika yeye hakika ctamkumbuka wala kumuonea wivu..
 
Nikishakumega niumie nini tena labda nigaramie unitime nisichape mzigo usepe hapo kidogo nitaumia.alafu wewe ukifanikiwa siwez umia labda tuwe kwenye ushindani wa kibihashara alafu niwe nimekupa mtaji unitose.
hmmmm...Usiusemee moyo
 
kutokana na koment za hapo juu inaonyesha ma uboyfrend na ugalfrend unaenda kimashindano zaid....au kukomoana.....
 
Ah me lile lishetani silikumbuki hata siku moja na vile limefulia!ah wapi siwezi kurudia matapishi.afu mbaya zaidi alikuwa anaomba nifulie but yeye ndo kafulia hana hata mia!
 
Ah me lile lishetani silikumbuki hata siku moja na vile limefulia!ah wapi siwezi kurudia matapishi.afu mbaya zaidi alikuwa anaomba nifulie but yeye ndo kafulia hana hata mia!

Angekuwa hakufulia bado ungekukuwa na hisia hizo hizo??

Na vipi ungefulia wewe na yeye akawa na unafuu??

Babu DC!!
 
Ah me lile lishetani silikumbuki hata siku moja na vile limefulia!ah wapi siwezi kurudia matapishi.afu mbaya zaidi alikuwa anaomba nifulie but yeye ndo kafulia hana hata mia!

umefurahi sasa mwenzako kupata tabu enhe?angekuwa matawi zaidi yako ungeumia bila shaka!ndio maana nikasema ni ugonjwa wa wote sio wanaume tu!
 
mambo wadau! mimi nina hili swali huwa linanitatiza, kuna baadhi ya wanaume wakiona maX wao wamemove on ( kapendeza, she is happy, anadate na mtu mwingine ) huwa wanaumia yan wivu si wivu anaweza akutukane we bila sababu tatizo huwa ni nin hasa?

bado anaku mind.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…