Kwanin wanaume wan'tembea sana...wanawake wan'sema sanaaa?

Ndevu mbili

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
379
Reaction score
41
Habar zenu!
Nawatakieni heri za mwaka mpya wa '' 2 or Twelve''

Mwanangu wa kiume amekuja niuliza hili swali...nimeshindwa kumjibu...maana watoto wa hizi zama wanajua mitego sana.
Nisaidieni nimjibu vipi?
 
Wanaume wana miguu mirefu na wanawake wana midomo midogo!!
 
Habar zenu!
Nawatakieni heri za mwaka mpya wa '' 2 or Twelve''

Mwanangu wa kiume amekuja niuliza hili swali...nimeshindwa kumjibu...maana watoto wa hizi zama wanajua mitego sana.
Nisaidieni nimjibu vipi?
Wewe ndio mtoto mwenyewe nini? mbona hujui kuandika na kujielezea ukaeleweka..........jipange upya uje tena kuuliza.
Halafu ukiwa kama baba lazima ujue jinsii ya kujibu maswali ya watoto, kwahiyo ulijibu subiri nikaulize JF.

Heri ya mwaka mpya 2012!!!
 
Nisaidie kwanza jinsi ya kumjibu kijana wangu!
Siwezi mwambie nmekuja JF kutafuta jibu!
 
huna mtoto una bahasha mpwa kazi unayo
 
jamani..boys have an extra leg and the girls have an extra pair of lips!ama??
 
Nisaidie kwanza jinsi ya kumjibu kijana wangu!
Siwezi mwambie nmekuja JF kutafuta jibu!
Mimi sijui uelewa wa mtoto wako, wewe ndio unajua uwezo wake wa kufikiria maana unaweza pewa jibu lakini ukashindwa kulitetea kama ukiulizwa swali zaidi kuhusiana na jibu ulilotoa.
 
Inategemea na kabila.Kutembea sana ni kutafuta mahitaji na kuongea sana ni kukosa kaz.Ni suala la utamadun kwa taarifa yako Waisrael wote wanatembea sana na hawasemi sana.
 
Habar zenu!
Nawatakieni heri za mwaka mpya wa '' 2 or Twelve''

Mwanangu wa kiume amekuja niuliza hili swali...nimeshindwa kumjibu...maana watoto wa hizi zama wanajua mitego sana.
Nisaidieni nimjibu vipi?

Mwambie huyokijana atakua amewaona waimba mipasho bilashaka na wakaka wakimachinga.
 
Heri ya mwaka mpya. ungemwambia wanaume hawana muda wa kukaa na kuongea ongea.
 
Nenda kakodishe adabu ikusaidie! Lol!

Lets call a spade a spade-adabu imekosekana wapi hapo??hilo ndo jibu..anatomical one!tatizo ni jinsi ya kumwelewesha huyo mtoto..labda kama unalo lingine..
 
Mwambie achukue madaftari afanye homework aliyopewa na ticha.
 
jamani..boys have an extra leg and the girls have an extra pair of lips!ama??
Nami niliwaza kumshaur hivyo hivyo!
Mwanaume anayo miguu mitatu!
Mwanamke anayo mashavu manne!
Kama hujui namaanisha nini usiulize sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…