Kwanini 50cent na Floyd Mayweather wanachukiana??

Kwanini 50cent na Floyd Mayweather wanachukiana??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Tazama katika fun page zao uone
Screenshot_2019-02-15-13-56-20.jpeg
Screenshot_2019-02-15-13-55-40.jpeg
Screenshot_2019-02-15-13-51-23.jpeg
Screenshot_2019-02-15-13-44-59.jpeg
Screenshot_2019-02-15-13-45-27.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazushi hao wanatuzingua wao wanapiga michuzi tu kwa hizo beef zao feki.
 
  • Thanks
Reactions: B51
Ugomvi wao ni katika ile product ya blackface pull-up sweater iliyozinduliwa na Gucci juzi kati yenye gharama zaidi ya $890 ambayo inahusishwa kuwa na some racist imagery. So fif anapiga na may ana support the product despite of the mistake made by the Gucci brand designer.
images(3).jpeg
 
Ugomvi wao ni katika ile product ya blackface pull-up sweater iliyozinduliwa na Gucci juzi kati yenye gharama zaidi ya $890 ambayo inahusishwa kuwa na some racist imagery. So fif anapiga na may ana support the product despite of the mistake made by the Gucci brand designer. View attachment 1023296
Hii beef niyajuzi goma lilianza kipindi Floyd anapigana na mflipino

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakua 50 alibeti mayweather apoteze game halafu hajapoteza, mwisho wa siku mzigo [emoji383][emoji383] wa 50 ukapotea.


...hit direct to the Ntoku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtoa mada mm nimeona UN logistic tyu😀😀😀😀😀whatsap kwa chacha1
 
Picha za kitambo za 50 kama za Diamond alivokuwa hana hata mia.
 
50 nowday kawa choko, miaka ya nyuma ukiwa na beef na 50 cent lazma uhame jimbo... Cent sasa hvi maneno mengi
 
Back
Top Bottom