MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Miaka mitatu nyuma nilishuhudia Mfuga Wanyama Mmoja maeneo ya Pwani akiuwawa (akipoteza) Maisha kwa Kuuliwa na Simba aliyekuwa akimfuga na waliyezoeana na Kushibana kabisa.
Hivyo hivyo zaidi ya mara Nne nimewahi Kusikia Watu Wanne tena Wataalam kabisa wa Kufuga Nyoka (Mijoka) na ambao wamezoeana nao kabisa Wakiuwawa (Wakiuliwa) kwa Kung"atwa nao vibaya.
Najua hapa JamiiForums kuna Wabobezi Wakubwa wa Masuala haya hivyo mtanisaidia katika Kunielimisha na hasa kujua nini huwa kipo nyuma ya hali hii?
Hivyo hivyo zaidi ya mara Nne nimewahi Kusikia Watu Wanne tena Wataalam kabisa wa Kufuga Nyoka (Mijoka) na ambao wamezoeana nao kabisa Wakiuwawa (Wakiuliwa) kwa Kung"atwa nao vibaya.
Najua hapa JamiiForums kuna Wabobezi Wakubwa wa Masuala haya hivyo mtanisaidia katika Kunielimisha na hasa kujua nini huwa kipo nyuma ya hali hii?