Mnyama pori ni mnyama pori tu, na ndio maana wamewekwa porini, ata uwe umezoeana nae vipi, kuna siku tu ule upori wake unamrudia.
Kuna kisa cha kweli cha jamaa fulani zamani alikuwa anafuga nyati mmoja akamchanganya na kundi la ng'ombe wake, kwahiyo akawa akiwachunga pamoja , siku moja kama kawaida anawapeleka malishoni, ghafla nyati uporipori ukamrudia bwan, alichota watu hovyohovyo na kuwaumiza vibaya, before akuwahi kufanya hvyo alikuwa nyati mwema tu..