Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Hivi kati ya Account ya Msemaji Mkuu wa Serikali na ile ya binafsi ya Gerson Msigwa ipi ni ya muhimu zaidi?
Mbona ya Msemaji Mkuu wa Serikali haiko verified lakini ya binafsi ipo?
Ni makusudi au?
Mbona ya Msemaji Mkuu wa Serikali haiko verified lakini ya binafsi ipo?
Ni makusudi au?